KIGOMA: WATAALAMU wa afya ya uzazi wamekutana mkoani Kigoma kufanya tathmini kufuatia changamoto mbalimbali zinazochangia ...
DAR ES SALAAM: WATAALAMU na washauri wa masuala ya fedha kutoka Brac Tanzania Limited wamewataka wanawake kuacha kutanguliza ...
SHINYANGA: Vikundi viwili vya wanawake halmashauri za wilaya ya Ushetu na Shinyanga vimekabidhiwa hundi yenye zaidi ya Sh ...
SIMIYU: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeiagiza serikali ya Halmashauri ya Mji wa Bariadi mkoani Simiyu kuhakikisha ...
SHINYANGA: KIKUNDI cha Mwanamke Chuma wilayani Kahama kimemkabidhi keki mkuu wa Mkoa wa Shinyanga kwa niaba ya wanawake wote ...
DAR ES SALAAM: WADAU wa masuala ya amani na viongozi wa dini wameguswa na kile kinachoendelea kati ya Iran, Marekani na Israel na kuzihimiza nchi hizo zinazokinzana kukaa mezani na kufanya mazungumzo ...
SIMIYU: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeahidi kuwa serikali itapeleka ndege nyuki (Drone) kwa ajili ya kufukuza Tembo ambao wamekuwa changamoto kwa wananchi wa jimbo la Bariadi Vijijini. Katibu wa NEC, ...
Kongwa, Dodoma: Wajiriwa wanawake wanaofanya kazi Wizara ya Mifugo na Uvuvi waliungana na wenzao kuadhimisha Siku ya Mwanamke Duniani katika maadhimisho yaliyofanyika wilayani Kongwa, mkoani Dodoma hu ...
GEITA; TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Geita imewafikisha katika mahakama ya Hakimu Mkazi Geita, wabunge wa majimbo ya Chato Kaskazini na Chato Kusini wakituhumiwa vitendo v ...
MOROGORO: WANAWAKE 8,248 wa Mkoa wa Morogoro wamepata mipoko yenye thamani ya Sh bilioni 5.3 kupitia vikundi vyao kwa ajili ya kuwainua kiuchumi katika kipindi cha mwaka 2025 . Mwenyekiti wa Uwezeshaj ...
GEITA: JUKWAA la Viongozi Wanawake (WLF) limetangaza kuja na mipango mikakati inayoazimia kuunganisha makundi yote ya wanawake pasipo kujali tofauti za kiitikadi za dini, siasa na elimu. Mwakilishi wa ...
SIMIYU: KATIBU wa Halmashauri Kuu Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi ametoa siku saba kwa Shirika la ...